Monday, June 10, 2013

HATIMAYE H. BABA NA FLORA MVUNGI WAFUNGA NDOA.....

BAADA ya maneno kibao katika uhusiano wao, hatimaye wasanii wa filamu na muziki Bongo, Hamis Ramadhan Baba ‘H. Baba‘ na Flora Mvungi, wametiza ahadi yao ya kufunga ndoa ya nguvu. 
Wawili hao walifungishwa ndoa na Shehe Maulid katika Msikiti wa Kibo, uliopo Ubungo, Dar, Jumamosi iliyopita na baada ya ndoa kufungwa sherehe ilifanyika nyumbani kwa akina Flora maeneo ya Kibo. 
“Tumefurahi sana na tunamshukuru Mungu kwa kuwa tumetimiza ndoto yetu kwani maneno yamesemwa mengi sana juu ya uhusiano wetu lakini Mungu ameendelea kutuweka pamoja mpaka tumefunga ndoa,” alisema Flora.
Baada ya watu kula na kunywa na maharusi kusaini vyeti vya ndoa, waliondoka kuelekea nyumbani kwao Mikocheni, Dar ambako kulikuwa na sherehe ya maulidi kulikokuwa na vyakula na vinywaji vya kutosha.
Akizungumza na mwandishi  wetu, H. Baba alifunguka kuwa aliamua kutokufanya sherehe ukumbini kutokana na wazee wake kukataa kwani kwa dini ya Kiislamu hairuhusiwi kufanya sherehe ukumbini ndiyo maana wakaamua kufanya maulidi tu.
 

"MWANAFUNZI WANGU WA KIKE ANANITAKA KIMAPENZI.. KILA SIKU HUKAA MBELE TENA KIHASARA"...MWALIMU

Mimi  ni mwalimu wa shule moja  ambayo sitaitaja. mwezi uliopita mwanafunzi wangu wa kike ambaye  yuko  kidato  cha  tatu alinifuata na kuniambia anataka kunipa zawadi...
Sikuwa na hili wala lile, hivyo nilimwambia ni poa tu kama ameamua  kunikumbuka mwalimu wake..
Zawadi aloniletea ilinifanya  nishike  kichwa maana  sikutegemea.Yule mwanafunzi  aliniletea chupi aina ya boxer 3  na  tangu siku hiyo kila akiniona ananifanyia vituko mpaka ananikalia nusu  uchi  darasana nikiwa nafundisha  kwa vile anakaa viti vya Mbele....
Nikiwa  kama  mwalimu, nimejaribu  kutumia  viboko  ili  kumuonesha  kwamba  sina  mpango  naye lakini  bado  imeshindikana..
Nifanyaje  ndugu  zangu?  Maadili  ya  kazi  yananibana.Hata  hivyo, mwanao  ni  mwanetu  sote.

STAR TV YATANGAZA KUJITOA KATIKA VING'AMUZI VYA STAR TIMES......TCRA YAGOMA NA KUDAI KUWA SHERIA HAIRUHUSU KUJITOA

BAADA ya Televisheni ya Star TV kutangaza kujitoa kurusha matangazo yao kupitia kingamuzi cha Star Times, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema sheria na leseni ya huduma, inazuia kuchukua hatua hiyo.

Hata hivyo, TCRA imesema inafanya uchunguzi na leo itakutana na uongozi wa Star TV na Star Times, kuzungumzia suala hilo ili hatua za udhibiti, zichukuliwe kuwezesha wananchi kupata haki ya msingi ya kupata matangazo ya kitaifa kupitia televisheni hiyo.

Star TV walitangaza kutoonekana kupitia Star Times siku chache zilizopita. Uchunguzi wetu umebaini kuwa, jana waliwasilisha barua ya hatua hiyo kwa kampuni ya Star Times kupitia mwanasheria wa kampuni yao.

Meneja Mawasiliano wa TCRA, Innocent Mungy aliliambia HabariLeo  jana kuwa na wao wamesikia taarifa hiyo kupitia vyombo vya habari Lakini, alisema Sheria ya Mawasiliano ya Elektroniki na Posta (EPOCA) ya mwaka 2010, haitoi fursa kwa watu wenye televisheni kujitoa ama kujiweka kwenye ving’amuzi watakavyo.

“Kwa ujumla chaneli zile tano za kitaifa, zinapaswa kuonekana bure kwenye ving’amuzi vyote, nasi tumesikia habari hizi na lazima tufanye uchunguzi, lakini pande zote mbili pamoja na sheria, pia wanafungwa na mkataba wa huduma kwa jamii na matakwa ya leseni,” alisema Mungi na kuongeza:
 “Sheria inawataka wawe na makubaliano, huwezi kusema mimi najitoa, leseni ina matakwa yake lazima yafuatwe. Lakini kesho (leo) tutawaita kujua kilichotokea ni nini na hatua zaidi zitachukuliwa baada ya hapo”.

Aliwahakikishia wananchi ni haki yao kupata matangazo kupitia televisheni ya Star TV, hata bila kulipia ving’amuzi, kama ilivyo kwa televisheni nyingine nne za ITV, TBC, Channel 10 na EATV.

Msaidizi wa Meneja wa Star Times, Hellen Elisa alithibitisha kujitoa kwa Star TV. Alieleza ni kweli walipokea barua mbili juzi, zikieleza kuhusu hatua yao hiyo kwamba wamejitoa kwa matakwa yao.

“Walituletea barua jana (juzi) kupitia mwanasheria wao wa kampuni, wao ni wamiliki wa chaneli, na sisi tunahusika kurusha matangazo, jambo lolote kama hili likitokea lazima kwanza kutii sheria, tumewasiliana na TCRA na wakubwa wetu wa kazi wametueleza kuwa wanalishughulikia kwa karibu,” alisema Elisa.

Kwa upande wake, Msimamizi wa masuala ya Ving’amuzi wa Sahara Media Group, wamiliki wa Star TV, Steve Diallo alipoulizwa kwa simu kuhusu kujitoa kwao Star Times, alisema yeye si Msemaji na kumtaka mwandishi kuwasiliana na watu wengine.

Miezi kadhaa iliyopita, Clouds TV nayo ilijitoa, lakini ikarejea tena. Jana, Mkurugenzi wa Utafiti wa Redio Clouds FM, Ruge Mutahaba alisema sheria inawabana wamiliki wa televisheni za kijamii kujitoa  na wanapaswa kuonekana katika ving’amuzi vyote.

Coders help: PHP Database connection

<?php
//this is in case you are using a localhost server.

$con=mysql_connect('localhost', 'root', 'password');
mysql_select_db('databasename', $con);

//you can now start your queries
?>

Sunday, June 2, 2013

Coders help:

Hii ni Kwa yeyote mwenye swali, maoni au solution kuhusu programming.. lete swali kwenye hii link utajibiwa.

NSSF has now ventured into extending its services to Tanzanians living abroad through special Diaspora coverage scheme called Welfare Scheme for Tanzanians in the Diaspora - WESTADI

NSSF has now ventured into extending its services to Tanzanians living abroad through special Diaspora coverage scheme called Welfare Scheme for Tanzanians in the Diaspora - WESTADI


Science world..Albert Eistein's Quotes


 
 
Before God we are all equally wise - and equally foolish.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
Do not worry about your difficulties in Mathematics. I can assure you mine are still greater.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
Ethical axioms are found and tested not very differently from the axioms of science. Truth is what stands the test of experience.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
Every day I remind myself that my inner and outer life are based on the labors of other men, living and dead, and that I must exert myself in order to give in the same measure as I have received and am still receiving.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
Few people are capable of expressing with equanimity opinions which differ from the prejudices of their social environment. Most people are even incapable of forming such opinions.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
Gravitation cannot be held responsible for people falling in love. How on earth can you explain in terms of chemistry and physics so important a biological phenomenon as first love? Put your hand on a stove for a minute and it seems like an hour. Sit with that special girl for an hour and it seems like a minute. That's relativity.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
I know not with what weapons World War III will be fought, but World War IV will be fought with sticks and stones.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
I never teach my pupils. I only attempt to provide the conditions in which they can learn.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
I never think of the future - it comes soon enough.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
If I had only known, I would have been a locksmith.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
If you are out to describe the truth, leave elegance to the tailor.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
Imagination is more important than knowledge...
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
It is a miracle that curiosity survives formal education.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
It is the supreme art of the teacher to awaken joy in creative expression and knowledge.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
Laws alone can not secure freedom of expression; in order that every man present his views without penalty there must be spirit of tolerance in the entire population.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
My religion consists of a humble admiration of the illimitable superior spirit who reveals himself in the slight details we are able to perceive with our frail and feeble mind.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
Only two things are infinite, the universe and human stupidity, and I'm not sure about the former.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
Perfection of means and confusion of ends seems to characterize our age.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
Reading, after a certain age, diverts the mind too much from its creative pursuits. Any man who reads too much and uses his own brain too little falls into lazy habits of thinking.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
The ideals which have lighted my way, and time after time have given me new courage to face life cheerfully, have been Kindness, Beauty, and Truth. The trite subjects of human efforts, possessions, outward success, luxury have always seemed to me contemptible.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
The important thing is not to stop questioning.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
The important thing is not to stop questioning. Curiosity has its own reason for existing. One cannot help but be in awe when he contemplates the mysteries of eternity, of life, of the marvelous structure of reality. It is enough if one tries merely to comprehend a little of this mystery every day. Never lose a holy curiosity.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
The most beautiful experience we can have is the mysterious.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
The most beautiful thing we can experience is the mysterious. It is the source of all true art and science.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
The most incomprehensible thing about the world is that it is at all comprehensible.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
The release of atomic energy has not created a new problem. It has merely made more urgent the necessity of solving an existing one.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
The secret to creativity is knowing how to hide your sources.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
To punish me for my contempt for authority, fate made me an authority myself.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein
Too many of us look upon Americans as dollar chasers. This is a cruel libel, even if it is reiterated thoughtlessly by the Americans themselves.
[info][add][mail][note]
Albert Einstein